Up next

Autoplay

UKWELI KIFO CHA TB. JOSHUA, AMEFARIKI PUNDE BAADA YA IBADA, ALIYOSEMA YALITABIRI KIFO CHAKE

24 Views • 04/09/22
Share
Embed
bsocially
bsocially
26 Subscribers
26

Mhubiri na nabii wa Kimataifa kutoka Nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu T.B Joshua amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amefariki saa chache baada ya kumaliza Huduma katika Kanisa lake Jijini Lagos, TB Joshua ni mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nation (SCOAN) na Kituo cha Televisheni cha Emmanuel

Taarifa iliyotolewa na kanisa lake la Scoan inaeleza kwamba TB Joshua alifariki muda mfupi baada ya kutoa huduma katika kanisa hilo Jumamosi.

Show more
0 Comments sort Sort By

Up next

Autoplay