UKWELI KIFO CHA TB. JOSHUA, AMEFARIKI PUNDE BAADA YA IBADA, ALIYOSEMA YALITABIRI KIFO CHAKE
25 Pogledi
• 04/09/22
0
0
Ugraditi
bsocially
26 Pretplatnici
Mhubiri na nabii wa Kimataifa kutoka Nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu T.B Joshua amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.
Amefariki saa chache baada ya kumaliza Huduma katika Kanisa lake Jijini Lagos, TB Joshua ni mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nation (SCOAN) na Kituo cha Televisheni cha Emmanuel
Taarifa iliyotolewa na kanisa lake la Scoan inaeleza kwamba TB Joshua alifariki muda mfupi baada ya kutoa huduma katika kanisa hilo Jumamosi.
Prikaži više
SORT BY-
Najbolji komentari
-
Najnoviji komentari