Tiếp theo

Tự chạy

UKWELI KIFO CHA TB. JOSHUA, AMEFARIKI PUNDE BAADA YA IBADA, ALIYOSEMA YALITABIRI KIFO CHAKE

27 Lượt xem • 04/09/22
Đăng lại
Nhúng
bsocially
bsocially
25 Người đăng ký
25

Mhubiri na nabii wa Kimataifa kutoka Nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu T.B Joshua amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo.

Amefariki saa chache baada ya kumaliza Huduma katika Kanisa lake Jijini Lagos, TB Joshua ni mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nation (SCOAN) na Kituo cha Televisheni cha Emmanuel

Taarifa iliyotolewa na kanisa lake la Scoan inaeleza kwamba TB Joshua alifariki muda mfupi baada ya kutoa huduma katika kanisa hilo Jumamosi.

Cho xem nhiều hơn
0 Bình luận sort Sắp xếp theo

Tiếp theo

Tự chạy